1. Usajili na Akaunti
Unaposajili akaunti au kutumia Guest Mode, unakubali kutoa taarifa sahihi kuhusu biashara yako na kulinda akaunti yako.
- Tumia taarifa halali za biashara.
- Linda simu na akaunti yako dhidi ya matumizi yasiyoidhinishwa.
- Guest Mode huhifadhi data kwenye kifaa chako pekee.
2. Matumizi ya Mfumo
Mfumo unatakiwa kutumika kwa shughuli halali za biashara pekee.
- • Hakikisha taarifa za stock na mauzo ni sahihi.
- • Usitumie WhatsApp/SMS kwa spam au vitisho.
3. Malipo na Vifurushi
Huduma za premium zinafanya kazi kulingana na vifurushi ulivyonunua.
Transaction ID
Hakikisha unaingiza namba sahihi ya muamala.
Expire Date
Vipengele vinaweza kuzuiwa muda ukiisha.
Refunds
Malipo yaliyofanyika hayarudishwi.
4. Ukomo wa Wajibu
Simamia App haitawajibika kwa hasara za biashara, upotevu wa data, au matatizo yanayotokana na kifaa, matumizi mabaya, au kutofanya backup.
5. Kusitisha Huduma
Tunaweza kusitisha akaunti yako bila taarifa ikiwa mfumo utatumika kwa udanganyifu, spam, au shughuli haramu.
6. Wasiliana Nasi
Ikiwa una maswali kuhusu masharti haya, wasiliana nasi kupitia simu au sehemu ya msaada ndani ya app.
+255 798 700 900